1. 1. Wanafunzi 165 wa kidato cha tano 2012 wachaguliwa kujiunga na Muheza High School. PCB 100 na CBG 65. Wasichana 60 na wavulana 105
Shule ipo umbali wa km 3.5 mashariki mwa mji mkuu wa Wilaya ya Muheza kuelekea Tanga Mjini. Kutoka kituo cha basi kikubwa cha Mji wa Muheza, usafiri wa Tax mpaka Muheza high School ni shilingi 3,500/=. Unatakiwa kuripoti shuleni ifikapo tarehe 11/ 04 / 2012, mwisho ni 21/ 04 / 2012.
Shule ipo umbali wa km 3.5 mashariki mwa mji mkuu wa Wilaya ya Muheza kuelekea Tanga Mjini. Kutoka kituo cha basi kikubwa cha Mji wa Muheza, usafiri wa Tax mpaka Muheza high School ni shilingi 3,500/=. Unatakiwa kuripoti shuleni ifikapo tarehe 11/ 04 / 2012, mwisho ni 21/ 04 / 2012.
Advertisement
